12 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemfanya imara kuwa mfalme juu ya Israeli+ na kwamba alikuwa ameuinua+ ufalme wake kwa ajili ya watu wake Israeli.+
9 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapokwenda,+ nami nitawakatilia mbali adui zako wote kutoka mbele yako;+ nami hakika nitakufanyia jina kuu,+ kama jina la wakuu walio duniani.