2 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemfanya imara+ kuwa mfalme juu ya Israeli, kwa maana ufalme wake ulikuwa umeinuliwa sana kwa ajili ya watu wake Israeli.+
8 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapotembea,+ nami nitawakatilia mbali adui+ zako wote kutoka mbele yako, nami hakika nitakufanyia jina+ kama jina la wakuu walio duniani.+