Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 14:1

Marejeo

  • +1Fa 5:1
  • +Eze 28:2
  • +1Fa 5:6; 2Nya 2:3
  • +1Nya 22:2

1 Mambo ya Nyakati 14:2

Marejeo

  • +2Sa 5:12; Zb 89:21
  • +Hes 24:7; 2Sa 7:8; 1Fa 10:9

1 Mambo ya Nyakati 14:3

Marejeo

  • +Kum 17:17
  • +2Sa 5:13; Zb 127:5

1 Mambo ya Nyakati 14:4

Marejeo

  • +1Nya 3:5
  • +2Sa 5:14
  • +Lu 3:31
  • +1Fa 1:47; Mt 1:6

1 Mambo ya Nyakati 14:5

Marejeo

  • +2Sa 5:15
  • +1Nya 3:6

1 Mambo ya Nyakati 14:6

Marejeo

  • +1Nya 3:7

1 Mambo ya Nyakati 14:7

Marejeo

  • +2Sa 5:16
  • +1Nya 3:8

1 Mambo ya Nyakati 14:8

Marejeo

  • +2Sa 5:17; 1Nya 11:3
  • +Zb 2:2

1 Mambo ya Nyakati 14:9

Marejeo

  • +2Sa 5:18, 22; 23:13

1 Mambo ya Nyakati 14:10

Marejeo

  • +1Sa 23:2; 30:8; 2Sa 5:19; Met 3:6

1 Mambo ya Nyakati 14:11

Marejeo

  • +2Sa 5:20; Isa 28:21
  • +2Sa 5:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1991, kur. 20-21

1 Mambo ya Nyakati 14:12

Marejeo

  • +2Sa 5:21
  • +Kut 32:20; Kum 7:25; 2Fa 19:18; 1Ko 10:14

1 Mambo ya Nyakati 14:13

Marejeo

  • +2Sa 5:22

1 Mambo ya Nyakati 14:14

Marejeo

  • +2Sa 5:23; Met 3:6
  • +Yos 8:2; Zb 18:34

1 Mambo ya Nyakati 14:15

Marejeo

  • +2Sa 5:24
  • +Amu 7:9; 1Sa 14:10
  • +Kum 23:14; Amu 4:14; Isa 45:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/1991, uku. 21

1 Mambo ya Nyakati 14:16

Marejeo

  • +Mwa 6:22; Kut 39:32; 1Yo 5:3
  • +2Sa 5:25
  • +Yos 16:10

1 Mambo ya Nyakati 14:17

Marejeo

  • +Yos 6:27
  • +Kum 2:25; 11:25; Yos 2:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 14:11Fa 5:1
1 Nya. 14:1Eze 28:2
1 Nya. 14:11Fa 5:6; 2Nya 2:3
1 Nya. 14:11Nya 22:2
1 Nya. 14:22Sa 5:12; Zb 89:21
1 Nya. 14:2Hes 24:7; 2Sa 7:8; 1Fa 10:9
1 Nya. 14:3Kum 17:17
1 Nya. 14:32Sa 5:13; Zb 127:5
1 Nya. 14:41Nya 3:5
1 Nya. 14:42Sa 5:14
1 Nya. 14:4Lu 3:31
1 Nya. 14:41Fa 1:47; Mt 1:6
1 Nya. 14:52Sa 5:15
1 Nya. 14:51Nya 3:6
1 Nya. 14:61Nya 3:7
1 Nya. 14:72Sa 5:16
1 Nya. 14:71Nya 3:8
1 Nya. 14:82Sa 5:17; 1Nya 11:3
1 Nya. 14:8Zb 2:2
1 Nya. 14:92Sa 5:18, 22; 23:13
1 Nya. 14:101Sa 23:2; 30:8; 2Sa 5:19; Met 3:6
1 Nya. 14:112Sa 5:20; Isa 28:21
1 Nya. 14:112Sa 5:20
1 Nya. 14:122Sa 5:21
1 Nya. 14:12Kut 32:20; Kum 7:25; 2Fa 19:18; 1Ko 10:14
1 Nya. 14:132Sa 5:22
1 Nya. 14:142Sa 5:23; Met 3:6
1 Nya. 14:14Yos 8:2; Zb 18:34
1 Nya. 14:152Sa 5:24
1 Nya. 14:15Amu 7:9; 1Sa 14:10
1 Nya. 14:15Kum 23:14; Amu 4:14; Isa 45:2
1 Nya. 14:16Mwa 6:22; Kut 39:32; 1Yo 5:3
1 Nya. 14:162Sa 5:25
1 Nya. 14:16Yos 16:10
1 Nya. 14:17Yos 6:27
1 Nya. 14:17Kum 2:25; 11:25; Yos 2:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 14:1-17

1 Mambo ya Nyakati

14 Na Hiramu+ mfalme wa Tiro+ akatuma wajumbe kwa Daudi na mierezi+ na wajenzi wa kuta na wafanyakazi wa miti ili wamjengee nyumba.+ 2 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemfanya imara+ kuwa mfalme juu ya Israeli, kwa maana ufalme wake ulikuwa umeinuliwa sana kwa ajili ya watu wake Israeli.+

3 Na Daudi akaendelea kuchukua wake+ zaidi katika Yerusalemu, na Daudi akazaa wana na mabinti zaidi.+ 4 Na haya ndiyo majina ya watoto wake aliopata katika Yerusalemu: Shamua+ na Shobabu,+ Nathani+ na Sulemani,+ 5 na Ibhari+ na Elishua na Elpeleti,+ 6 na Noga na Nefegi+ na Yafia, 7 na Elishama+ na Beeliada na Elifeleti.+

8 Na Wafilisti wakasikia kwamba Daudi ametiwa mafuta awe mfalme juu ya Israeli wote.+ Ndipo Wafilisti wote wakaja kumtafuta Daudi.+ Daudi aliposikia habari hizo, akatoka na kwenda kupigana nao. 9 Nao Wafilisti wakaingia na kuendelea kuvamia katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+ 10 Naye Daudi akaanza kumuuliza Mungu,+ akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti, na je, hakika utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende, nami hakika nitawatia mkononi mwako.” 11 Kwa hiyo Daudi akapanda kwenda Baal-perasimu+ naye akawapiga na kuwaua huko. Ndipo Daudi akasema: “Mungu wa kweli amepenya katikati ya adui zangu kupitia kwa mkono wangu kama pengo lililofanyizwa na maji.” Ndiyo sababu walipaita mahali hapo+ jina Baal-perasimu. 12 Basi wakaiacha miungu yao huko.+ Ndipo Daudi akatoa amri, nayo ikateketezwa motoni.+

13 Baadaye Wafilisti wakavamia tena katika nchi tambarare ya chini.+ 14 Ndipo Daudi akamuuliza+ tena Mungu wa kweli, na sasa Mungu wa kweli akamwambia: “Usipande kuwafuatilia. Zunguka uende, usiende moja kwa moja kuwashambulia, nawe uwajie mbele ya miti ya mibaka.+ 15 Na iwe kwamba, utakaposikia sauti ya mwendo juu ya miti ya mibaka,+ ndipo utoke, uingie katika pigano,+ kwa sababu Mungu wa kweli atakuwa ametoka kwenda mbele yako+ kuipiga kambi ya Wafilisti.” 16 Basi Daudi akafanya kama vile Mungu wa kweli alivyokuwa amemwamuru,+ nao wakaipiga kambi ya Wafilisti kutoka Gibeoni+ mpaka Gezeri.+ 17 Na sifa+ ya Daudi ikaanza kuenea katika nchi zote, na Yehova akatia hofu yake juu ya mataifa yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki