17 Na Wafilisti wakasikia kwamba walikuwa wamemtia mafuta Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+ Ndipo Wafilisti wote wakaja kumtafuta Daudi. Daudi aliposikia habari hizo, akashuka, akatoka na kwenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+
3 Basi wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni na Daudi akafanya agano nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli, kulingana na neno+ la Yehova kupitia kwa Samweli.+