Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 11:1

Marejeo

  • +2Sa 5:1; 1Nya 12:23
  • +Hes 13:22; 2Sa 2:1; 5:5
  • +Kum 17:15

1 Mambo ya Nyakati 11:2

Marejeo

  • +Hes 27:17; 1Sa 18:6, 13
  • +2Sa 7:7; Zb 78:71; Yoh 10:11
  • +1Sa 25:30; 2Sa 6:21; 1Nya 17:7

1 Mambo ya Nyakati 11:3

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 2Sa 2:4; 5:3
  • +Isa 55:11
  • +1Sa 15:28

1 Mambo ya Nyakati 11:4

Marejeo

  • +2Sa 5:6
  • +Yos 15:63; Amu 1:21; 19:10
  • +Mwa 10:16; 15:21; Kut 3:17

1 Mambo ya Nyakati 11:5

Marejeo

  • +2Sa 5:6
  • +1Fa 8:1; 2Nya 5:2; Zb 2:6; 48:2
  • +2Sa 5:9; 6:10; 1Fa 2:10

1 Mambo ya Nyakati 11:6

Marejeo

  • +Yos 15:16; 1Sa 17:25
  • +2Sa 2:18

1 Mambo ya Nyakati 11:7

Marejeo

  • +Zb 2:6
  • +2Sa 5:7

1 Mambo ya Nyakati 11:8

Marejeo

  • +Ne 4:2

1 Mambo ya Nyakati 11:9

Marejeo

  • +2Sa 3:1; 5:10
  • +1Nya 9:20; Zb 46:7; Isa 8:10

1 Mambo ya Nyakati 11:10

Marejeo

  • +2Sa 23:9
  • +1Sa 16:12

1 Mambo ya Nyakati 11:11

Marejeo

  • +2Sa 23:8; 1Nya 27:2
  • +Yos 23:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 11:12

Marejeo

  • +2Sa 23:9
  • +1Nya 8:4
  • +2Sa 23:10, 17

1 Mambo ya Nyakati 11:13

Marejeo

  • +1Sa 17:1
  • +Kum 28:25

1 Mambo ya Nyakati 11:14

Marejeo

  • +1Sa 19:5; 2Sa 23:10; Zb 18:50
  • +Zb 144:10; Met 21:31; Lu 1:71

1 Mambo ya Nyakati 11:15

Marejeo

  • +2Sa 23:13
  • +1Sa 22:1
  • +Yos 15:8; Isa 17:5

1 Mambo ya Nyakati 11:16

Marejeo

  • +1Sa 23:25
  • +1Sa 10:5; 13:4, 23

1 Mambo ya Nyakati 11:17

Marejeo

  • +2Sa 23:15
  • +1Sa 20:6

1 Mambo ya Nyakati 11:18

Marejeo

  • +2Sa 23:16
  • +1Sa 7:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 6

1 Mambo ya Nyakati 11:19

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 17:10; Kum 12:27; Mdo 15:29
  • +2Sa 23:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 6

1 Mambo ya Nyakati 11:20

Marejeo

  • +1Sa 26:6; 2Sa 2:18; 18:2; 23:18
  • +2Sa 3:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 11:21

Marejeo

  • +2Sa 23:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 11:22

Marejeo

  • +2Sa 23:20; 1Nya 27:5
  • +1Fa 4:4; 1Nya 27:5
  • +Yos 15:21
  • +Amu 14:6; 1Sa 17:36; 2Sa 1:23

1 Mambo ya Nyakati 11:23

Marejeo

  • +1Sa 17:4
  • +1Sa 17:7
  • +1Sa 17:51

1 Mambo ya Nyakati 11:25

Marejeo

  • +1Nya 11:19
  • +2Sa 20:23

1 Mambo ya Nyakati 11:26

Marejeo

  • +2Sa 2:18, 23; 23:24; 1Nya 27:7
  • +2Sa 23:24

1 Mambo ya Nyakati 11:27

Marejeo

  • +2Sa 23:25; 1Nya 27:8
  • +2Sa 23:26

1 Mambo ya Nyakati 11:28

Marejeo

  • +1Nya 27:9
  • +2Sa 23:27; 1Nya 27:12

1 Mambo ya Nyakati 11:29

Marejeo

  • +2Sa 21:18; 1Nya 27:11
  • +1Nya 11:12

1 Mambo ya Nyakati 11:30

Marejeo

  • +2Sa 23:28
  • +1Nya 27:13
  • +1Nya 27:15

1 Mambo ya Nyakati 11:31

Marejeo

  • +2Sa 23:29
  • +Amu 19:13
  • +Mwa 49:27; Amu 19:14; 20:15; 1Nya 12:2
  • +2Sa 23:30

1 Mambo ya Nyakati 11:32

Marejeo

  • +Yos 24:30; Amu 2:9

1 Mambo ya Nyakati 11:33

Marejeo

  • +2Sa 23:31

1 Mambo ya Nyakati 11:34

Marejeo

  • +2Sa 23:32

1 Mambo ya Nyakati 11:35

Marejeo

  • +2Sa 23:33
  • +2Sa 23:34

1 Mambo ya Nyakati 11:37

Marejeo

  • +2Sa 23:35

1 Mambo ya Nyakati 11:38

Marejeo

  • +2Sa 23:36

1 Mambo ya Nyakati 11:40

Marejeo

  • +2Sa 23:38

1 Mambo ya Nyakati 11:41

Marejeo

  • +2Sa 11:3, 17; 12:9; 23:39; 1Fa 15:5
  • +1Sa 26:6; Ezr 9:1; Ne 9:8

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 11:12Sa 5:1; 1Nya 12:23
1 Nya. 11:1Hes 13:22; 2Sa 2:1; 5:5
1 Nya. 11:1Kum 17:15
1 Nya. 11:2Hes 27:17; 1Sa 18:6, 13
1 Nya. 11:22Sa 7:7; Zb 78:71; Yoh 10:11
1 Nya. 11:21Sa 25:30; 2Sa 6:21; 1Nya 17:7
1 Nya. 11:31Sa 16:13; 2Sa 2:4; 5:3
1 Nya. 11:3Isa 55:11
1 Nya. 11:31Sa 15:28
1 Nya. 11:42Sa 5:6
1 Nya. 11:4Yos 15:63; Amu 1:21; 19:10
1 Nya. 11:4Mwa 10:16; 15:21; Kut 3:17
1 Nya. 11:52Sa 5:6
1 Nya. 11:51Fa 8:1; 2Nya 5:2; Zb 2:6; 48:2
1 Nya. 11:52Sa 5:9; 6:10; 1Fa 2:10
1 Nya. 11:6Yos 15:16; 1Sa 17:25
1 Nya. 11:62Sa 2:18
1 Nya. 11:7Zb 2:6
1 Nya. 11:72Sa 5:7
1 Nya. 11:8Ne 4:2
1 Nya. 11:92Sa 3:1; 5:10
1 Nya. 11:91Nya 9:20; Zb 46:7; Isa 8:10
1 Nya. 11:102Sa 23:9
1 Nya. 11:101Sa 16:12
1 Nya. 11:112Sa 23:8; 1Nya 27:2
1 Nya. 11:11Yos 23:10
1 Nya. 11:122Sa 23:9
1 Nya. 11:121Nya 8:4
1 Nya. 11:122Sa 23:10, 17
1 Nya. 11:131Sa 17:1
1 Nya. 11:13Kum 28:25
1 Nya. 11:141Sa 19:5; 2Sa 23:10; Zb 18:50
1 Nya. 11:14Zb 144:10; Met 21:31; Lu 1:71
1 Nya. 11:152Sa 23:13
1 Nya. 11:151Sa 22:1
1 Nya. 11:15Yos 15:8; Isa 17:5
1 Nya. 11:161Sa 23:25
1 Nya. 11:161Sa 10:5; 13:4, 23
1 Nya. 11:172Sa 23:15
1 Nya. 11:171Sa 20:6
1 Nya. 11:182Sa 23:16
1 Nya. 11:181Sa 7:6
1 Nya. 11:19Mwa 9:4; Law 17:10; Kum 12:27; Mdo 15:29
1 Nya. 11:192Sa 23:17
1 Nya. 11:201Sa 26:6; 2Sa 2:18; 18:2; 23:18
1 Nya. 11:202Sa 3:30
1 Nya. 11:212Sa 23:19
1 Nya. 11:222Sa 23:20; 1Nya 27:5
1 Nya. 11:221Fa 4:4; 1Nya 27:5
1 Nya. 11:22Yos 15:21
1 Nya. 11:22Amu 14:6; 1Sa 17:36; 2Sa 1:23
1 Nya. 11:231Sa 17:4
1 Nya. 11:231Sa 17:7
1 Nya. 11:231Sa 17:51
1 Nya. 11:251Nya 11:19
1 Nya. 11:252Sa 20:23
1 Nya. 11:262Sa 2:18, 23; 23:24; 1Nya 27:7
1 Nya. 11:262Sa 23:24
1 Nya. 11:272Sa 23:25; 1Nya 27:8
1 Nya. 11:272Sa 23:26
1 Nya. 11:281Nya 27:9
1 Nya. 11:282Sa 23:27; 1Nya 27:12
1 Nya. 11:292Sa 21:18; 1Nya 27:11
1 Nya. 11:291Nya 11:12
1 Nya. 11:302Sa 23:28
1 Nya. 11:301Nya 27:13
1 Nya. 11:301Nya 27:15
1 Nya. 11:312Sa 23:29
1 Nya. 11:31Amu 19:13
1 Nya. 11:31Mwa 49:27; Amu 19:14; 20:15; 1Nya 12:2
1 Nya. 11:312Sa 23:30
1 Nya. 11:32Yos 24:30; Amu 2:9
1 Nya. 11:332Sa 23:31
1 Nya. 11:342Sa 23:32
1 Nya. 11:352Sa 23:33
1 Nya. 11:352Sa 23:34
1 Nya. 11:372Sa 23:35
1 Nya. 11:382Sa 23:36
1 Nya. 11:402Sa 23:38
1 Nya. 11:412Sa 11:3, 17; 12:9; 23:39; 1Fa 15:5
1 Nya. 11:411Sa 26:6; Ezr 9:1; Ne 9:8
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 11:1-47

1 Mambo ya Nyakati

11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+ 2 Jana na juzi vilevile, hata Sauli alipokuwa mfalme, wewe ndiye uliyeongoza Israeli kuwatoa na kuwaingiza;+ na Yehova, Mungu wako, alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.’” 3 Basi wanaume wote wazee wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni na Daudi akafanya agano nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli, kulingana na neno+ la Yehova kupitia kwa Samweli.+

4 Baadaye Daudi na Israeli wote wakaenda Yerusalemu,+ yaani, Yebusi,+ ambapo Wayebusi+ ndio waliokuwa wakaaji wa nchi hiyo. 5 Na wakaaji wa Yebusi wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu.”+ Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni,+ yaani, Jiji la Daudi.+ 6 Hivyo Daudi akasema: “Yeyote atakayewapiga+ Wayebusi kwanza, atakuwa kichwa na mkuu.” Na Yoabu+ mwana wa Seruya akapanda kwanza, naye akawa kichwa. 7 Na Daudi akaanza kukaa katika mahali pagumu kufikiwa.+ Ndiyo maana walipaita Jiji la Daudi.+ 8 Naye akaanza kujenga jiji hilo kuzunguka pande zote, kuanzia Kilima mpaka zile sehemu zenye kuzunguka, lakini Yoabu akazitengeneza+ zile sehemu nyingine za jiji. 9 Na Daudi akaendelea kuwa mkuu zaidi na zaidi,+ kwa maana Yehova wa majeshi alikuwa pamoja naye.+

10 Basi hawa ndio vichwa vya wale wanaume wenye nguvu+ wa Daudi, walioshikamana naye kwa nguvu katika ufalme wake pamoja na Israeli wote, kumfanya kuwa mfalme kulingana na neno la Yehova+ kuhusu Israeli. 11 Na hii ndiyo orodha ya wale wanaume wenye nguvu waliokuwa wa Daudi: Yashobeamu+ mwana wa Mhakmoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia tatu waliouawa kwa wakati mmoja.+ 12 Na baada yake alikuwa Eleazari+ mwana wa Dodo, Mwahohi.+ Alikuwa kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu.+ 13 Yeye ndiye aliyekuwa na Daudi kule Pas-damimu,+ ambapo Wafilisti walikuwa wamejikusanya kwa ajili ya vita. Basi palikuwa na eneo la shamba lililojaa shayiri, na watu wakawa wamekimbia kwa sababu ya Wafilisti.+ 14 Lakini yeye akasimama katikati ya lile shamba, akalikomboa, naye akaendelea kuwapiga na kuwaua Wafilisti, hivi kwamba Yehova akaokoa+ kwa wokovu mkubwa.+

15 Na watatu kati ya wale 30+ waliokuwa vichwa wakashuka kwenda mwambani, kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ huku kambi ya Wafilisti ikiwa imepigwa katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+ 16 Na wakati huo Daudi alikuwa katika mahali palipo pagumu kufikiwa;+ na wakati huo kambi ya kijeshi ya Wafilisti+ ilikuwa katika Bethlehemu. 17 Baada ya muda Daudi akaonyesha tamaa yake na kusema: “Laiti ningekunywa+ maji kutoka katika tangi la Bethlehemu+ lililoko langoni!” 18 Ndipo wale watatu wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika lile tangi la Bethlehemu lililoko langoni, wakaja wakiwa wameyachukua na kumletea Daudi.+ Naye Daudi hakukubali kuyanywa, bali akayamwaga mbele za Yehova.+ 19 Naye akaendelea kusema: “Ni jambo lisiloweza kuwaziwa kwangu, kwa habari ya Mungu wangu, nifanye hivi! Je, ninywe damu+ ya watu hawa kwa kuhatarisha nafsi zao? Kwa maana waliyaleta kwa kuhatarisha nafsi zao.” Naye hakukubali kuyanywa.+ Hayo ndiyo mambo ambayo wale wanaume watatu wenye nguvu walifanya.

20 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu,+ yeye alikuwa kichwa cha wale watatu; naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu. 21 Kati ya hao watatu yeye alikuwa mashuhuri zaidi kuliko hao wengine wawili, naye akawa mkuu wao; ingawa hivyo hakufikia+ kuwa kati ya wale watatu wa kwanza.

22 Naye Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mwana wa mwanamume shujaa, aliyefanya matendo mengi katika Kabzeeli,+ yeye mwenyewe alipiga na kuwaua wale wana wawili wa Arieli wa Moabu; naye alishuka, akapiga na kumuua simba+ ndani ya shimo la maji katika siku ya kuanguka kwa theluji. 23 Naye ndiye aliyempiga na kumuua yule mwanamume Mmisri, mwanamume aliyekuwa mkubwa isivyo kawaida, mwenye urefu wa mikono mitano.+ Na mkononi mwa yule Mmisri kulikuwa na mkuki+ kama mti wa wafumaji wa nguo; na bado yeye alishuka kumwendea akiwa na fimbo, akaunyakua ule mkuki kutoka mkononi mwa yule Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe.+ 24 Benaya mwana wa Yehoyada alifanya mambo hayo, naye alikuwa na jina kati ya wale wanaume watatu wenye nguvu. 25 Ingawa yeye alikuwa mashuhuri kuliko wale 30, hakufikia daraja la wale watatu wa kwanza.+ Hata hivyo, Daudi alimweka juu ya walinzi wake.+

26 Kwa habari ya wanaume wenye nguvu wa majeshi, kulikuwa na Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu. 27 Shamothi+ Mharori, Helezi Mpeloni,+ 28 Ira+ mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi,+ 29 Sibekai+ Mhusha, Ilai Mwahohi,+ 30 Maharai+ Mnetofa,+ Heledi+ mwana wa Baana Mnetofa, 31 Ithai mwana wa Ribai+ wa Gibea+ wa wana wa Benyamini,+ Benaya Mpirathoni,+ 32 Hurai kutoka katika mabonde ya mto ya Gaashi,+ Abieli Mwarbathi, 33 Azmavethi Mbaharumu,+ Eliaba Mshaalboni, 34 wana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani+ mwana wa Shagee Mharari, 35 Ahiamu mwana wa Sakari+ Mharari, Elifali+ mwana wa Uru, 36 Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni, 37 Hezro Mkarmeli,+ Naarai mwana wa Ezbai, 38 Yoeli ndugu ya Nathani,+ Mibhari mwana wa Hagri, 39 Seleki Mwamoni, Naharai Mberothi, mchukua-silaha wa Yoabu mwana wa Seruya, 40 Ira Mwithri, Garebu+ Mwithri, 41 Uria+ Mhiti,+ Zabadi mwana wa Alai, 42 Adina mwana wa Shiza Mrubeni, kichwa cha Warubeni, ambaye 30 walikuwa pamoja naye; 43 Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini, 44 Uziya Mwashtarothi, Shama na Yeieli, wana wa Hothamu Mwaroeri, 45 Yediaeli mwana wa Shimri, na Yoha ndugu yake, Mtisi, 46 Elieli Mmahawi, na Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, na Ithma Mmoabu. 47 Elieli na Obedi na Yaasieli Mmesoba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki