51 Na Daudi akaendelea kukimbia, akasimama juu ya yule Mfilisti. Halafu akachukua upanga wake+ na kuuchomoa kutoka ndani ya ala yake, na kumuua kabisa alipoutumia kukikata kichwa chake.+ Nao Wafilisti wakaona kwamba mwanamume wao mwenye nguvu amekufa, nao wakaanza kukimbia.+