51 Daudi akaendelea kukimbia na kusimama juu yake. Kisha akaushika upanga wa Mfilisti+ huyo na kuuchomoa kutoka katika ala yake, akahakikisha kwamba amekufa kwa kumkata kichwa kwa upanga huo. Wafilisti walipoona kwamba shujaa wao amekufa, wakakimbia.+