Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Yehova atafanya maadui wanaowashambulia washindwe mbele yenu.+ Watawashambulia kutoka upande mmoja, lakini watawakimbia wakielekea pande saba tofauti.+

  • Yoshua 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mtu mmoja tu kati yenu atawakimbiza watu elfu,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu anawapigania,+ kama alivyowaahidi.+

  • Waebrania 11:32-34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia kuhusu Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi,+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine. 33 Kupitia imani walishinda falme,+ wakaleta uadilifu, wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+ 34 wakazima nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ wakafanywa kuwa wenye nguvu kutoka kwenye hali ya udhaifu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wavamizi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki