7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+