1 Samweli 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Baadaye Sauli akaja na watu wake kumtafuta.+ Walipomjulisha Daudi, mara moja akashuka kwenda kwenye mwamba,+ naye akaendelea kukaa katika nyika ya Maoni. Sauli aliposikia habari hiyo, akaenda kumfuatilia+ Daudi katika nyika ya Maoni.
25 Baadaye Sauli akaja na watu wake kumtafuta.+ Walipomjulisha Daudi, mara moja akashuka kwenda kwenye mwamba,+ naye akaendelea kukaa katika nyika ya Maoni. Sauli aliposikia habari hiyo, akaenda kumfuatilia+ Daudi katika nyika ya Maoni.