1 Samweli 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Sauli akageuka, akaacha kumfuatilia Daudi,+ akaenda kukutana na Wafilisti. Ndiyo sababu wamepaita mahali hapo Mwamba wa Migawanyiko.
28 Ndipo Sauli akageuka, akaacha kumfuatilia Daudi,+ akaenda kukutana na Wafilisti. Ndiyo sababu wamepaita mahali hapo Mwamba wa Migawanyiko.