1 Samweli 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Sauli akaacha kumfuatia Daudi,+ akaenda kukabiliana na Wafilisti. Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Mwamba wa Migawanyiko.
28 Ndipo Sauli akaacha kumfuatia Daudi,+ akaenda kukabiliana na Wafilisti. Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Mwamba wa Migawanyiko.