1 Samweli 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kisha Sauli akaja na wanaume wake kumtafuta.+ Daudi alipoambiwa jambo hilo, akashuka mara moja na kwenda kwenye mwamba,+ naye akakaa katika nyika ya Maoni. Sauli aliposikia hilo, akamfuatia Daudi katika nyika ya Maoni.
25 Kisha Sauli akaja na wanaume wake kumtafuta.+ Daudi alipoambiwa jambo hilo, akashuka mara moja na kwenda kwenye mwamba,+ naye akakaa katika nyika ya Maoni. Sauli aliposikia hilo, akamfuatia Daudi katika nyika ya Maoni.