2 Na zaidi ya hayo, Daudi akapeleka sehemu ya tatu+ ya watu iwe chini ya mkono wa Yoabu+ na sehemu ya tatu chini ya mkono wa Abishai+ mwana wa Seruya, ndugu ya Yoabu,+ na sehemu ya tatu chini ya mkono wa Itai+ Mgathi. Kisha mfalme akawaambia watu: “Mimi pia hakika nitaenda pamoja nanyi.”