Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake.

  • 2 Samweli 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Asaheli+ ndugu ya Yoabu alikuwa kati ya wale 30; Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu,

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa habari ya wanaume wenye nguvu wa majeshi, kulikuwa na Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wa nne kwa ajili ya mwezi wa nne alikuwa Asaheli,+ ndugu ya Yoabu,+ na Zebadia mwana wake baada yake, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki