2 Samweli 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake. 2 Samweli 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Asaheli+ ndugu ya Yoabu alikuwa kati ya wale 30; Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu, 1 Mambo ya Nyakati 11:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa habari ya wanaume wenye nguvu wa majeshi, kulikuwa na Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu. 1 Mambo ya Nyakati 27:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wa nne kwa ajili ya mwezi wa nne alikuwa Asaheli,+ ndugu ya Yoabu,+ na Zebadia mwana wake baada yake, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.
27 Abneri aliporudi Hebroni,+ Yoabu akampeleka kando ndani ya lango ili aseme naye kimyakimya.+ Hata hivyo, hapo akampiga tumboni,+ hata akafa kwa sababu ya damu ya Asaheli+ ndugu yake.
26 Kwa habari ya wanaume wenye nguvu wa majeshi, kulikuwa na Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu.
7 Wa nne kwa ajili ya mwezi wa nne alikuwa Asaheli,+ ndugu ya Yoabu,+ na Zebadia mwana wake baada yake, na katika mgawanyo wake walikuwa 24,000.