2 Samweli 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+ 2 Samweli 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Abneri alipokuja kwa Daudi kule Hebroni, na watu 20 pamoja naye, Daudi alimfanyia Abneri karamu+ na pia wale watu waliokuwa pamoja naye.
2 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akamuuliza Yehova,+ akisema: “Je, nipande kwenda katika moja la majiji ya Yuda?” Ndipo Yehova akamwambia: “Panda uende.” Na Daudi akaendelea kusema: “Nipande kwenda wapi?” Ndipo akasema: “Hebroni.”+
20 Abneri alipokuja kwa Daudi kule Hebroni, na watu 20 pamoja naye, Daudi alimfanyia Abneri karamu+ na pia wale watu waliokuwa pamoja naye.