Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia.

  • Hesabu 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.

  • Yoshua 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo sababu mpaka leo hii Hebroni limekuwa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, kwa maana alimfuata Yehova Mungu wa Israeli kikamilifu.+

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Yoshua 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakawapa Kiriath-arba+ (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki),+ yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda,+ na viwanja vyake vya malisho kuzunguka pande zote;

  • Yoshua 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na shamba la jiji hilo na makao yake wakampa Kalebu mwana wa Yefune kuwa miliki yake.+

  • 1 Samweli 30:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 na kwa wale waliokuwa Hebroni,+ na mahali pote ambapo Daudi alikuwa ametembea, yeye pamoja na watu wake.

  • 2 Samweli 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi+ katika Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+

  • 1 Wafalme 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na siku ambazo Daudi alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni+ alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki