27 Mwishowe Yakobo akaenda kwa Isaka baba yake huko Mamre,+ huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na Isaka pia walikuwa wamekaa wakiwa wageni.+
22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.