Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaanza kumwambia Abramu: “Ujue hakika kwamba uzao wako utakuwa mkaaji mgeni katika nchi isiyokuwa yao,+ nao watawatumikia watu wale, nao watawatesa kwa miaka mia nne.+

  • Kutoka 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na pia nilifanya agano pamoja nao niwape nchi ya Kanaani, nchi ya makao yao ya kigeni walimokaa wakiwa wageni.+

  • Kutoka 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nawe usimkandamize mkaaji mgeni,+ kwa maana ninyi wenyewe mmeijua nafsi ya mkaaji mgeni, kwa sababu mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+

  • Matendo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Zaidi ya hayo, Mungu alisema hivi, kwamba uzao wake ungekuwa wakaaji wageni+ katika nchi ya kigeni+ na watu hao wangewafanya watumwa na kuwatesa kwa miaka mia nne.+

  • Waebrania 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa imani alikaa kama mgeni katika nchi ya ahadi kama katika nchi ya ugenini,+ akakaa katika mahema+ pamoja na Isaka+ na Yakobo,+ warithi pamoja naye wa ahadi ileile.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki