Mwanzo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nitakufanya uwe mwenye kuzaa sana sana na kukufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka ndani yako.+ Mwanzo 26:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+ Mwanzo 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+
6 Nami nitakufanya uwe mwenye kuzaa sana sana na kukufanya uwe mataifa, na wafalme watatoka ndani yako.+
3 Kaa ukiwa mgeni katika nchi hii,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe na kukubariki, kwa sababu nitakupa wewe na uzao wako nchi zote hizi,+ nami nitaitimiza ahadi yenye kiapo ambayo nilimwapia Abrahamu baba yako,+
13 Na, tazama! Yehova alikuwa amesimama juu yake, naye akaanza kusema:+ “Mimi ni Yehova Mungu wa Abrahamu baba yako na Mungu wa Isaka.+ Nchi ambayo unalala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.+