Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 26:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye Yehova akamtokea usiku huo na kusema: “Mimi ni Mungu wa Abrahamu baba yako.+ Usiogope,+ kwa sababu mimi nipo pamoja nawe, nami nitakubariki wewe na kuuzidisha uzao wako kwa sababu ya Abrahamu mtumishi wangu.”+

  • Marko 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini kuhusu wafu, kwamba wanafufuliwa, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba, jinsi Mungu alivyomwambia, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+

  • Matendo 7:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 ‘Mimi ni Mungu wa mababu zako, Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo.’+ Akitetemeka, Musa hakuthubutu kuchunguza zaidi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki