Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 50:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe Yosefu akawaambia ndugu zake: “Ninakufa; lakini Mungu hatakosa kuwaelekezea fikira zake,+ naye kwa hakika atawatoa katika nchi hii na kuwapeleka mpaka nchi ambayo aliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo.”+

  • Kutoka 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaendelea kusema: “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.”+ Kisha Musa akauficha uso wake, kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli.

  • Marko 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini kuhusu wafu, kwamba wanafufuliwa, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba, jinsi Mungu alivyomwambia, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+

  • Luka 20:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki