24 Naye Yehova akamtokea usiku huo na kusema: “Mimi ni Mungu wa Abrahamu baba yako.+ Usiogope,+ kwa sababu mimi nipo pamoja nawe, nami nitakubariki wewe na kuuzidisha uzao wako kwa sababu ya Abrahamu mtumishi wangu.”+
9 Baada ya hayo Yakobo akasema: “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu na Mungu wa baba yangu Isaka,+ Ee Yehova, wewe unayeniambia, ‘Rudi kwenye nchi yako na kwa watu wa jamaa yako nami nitakutendea vema,’+