6 Naye akaendelea kusema: “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.”+ Kisha Musa akauficha uso wake, kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu wa kweli.
13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+
16 Lakini sasa wanajitahidi kufikia mahali palipo bora, yaani, panapohusiana na mbinguni.+ Kwa hiyo Mungu haoni aibu juu yao, kuitwa akiwa Mungu wao,+ kwa maana ametayarisha jiji+ kwa ajili yao.