Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kutoka wakati huo na kuendelea Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme+ wa mbinguni umekaribia.”

  • Mathayo 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Ndipo mfalme atakapowaambia wale walio kwenye mkono wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi ambao mmebarikiwa na Baba yangu,+ urithini+ ufalme+ uliotayarishwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

  • Wafilipi 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini sisi, uraia+ wetu uko mbinguni,+ ambako kutoka huko pia tunamngojea+ mwokozi kwa hamu, Bwana Yesu Kristo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki