Mathayo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kutoka wakati huo na kuendelea Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme+ wa mbinguni umekaribia.” Mathayo 25:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Ndipo mfalme atakapowaambia wale walio kwenye mkono wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi ambao mmebarikiwa na Baba yangu,+ urithini+ ufalme+ uliotayarishwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+ Wafilipi 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini sisi, uraia+ wetu uko mbinguni,+ ambako kutoka huko pia tunamngojea+ mwokozi kwa hamu, Bwana Yesu Kristo,+
17 Kutoka wakati huo na kuendelea Yesu alianza kuhubiri na kusema: “Tubuni,+ kwa maana ufalme+ wa mbinguni umekaribia.”
34 “Ndipo mfalme atakapowaambia wale walio kwenye mkono wake wa kuume, ‘Njooni, ninyi ambao mmebarikiwa na Baba yangu,+ urithini+ ufalme+ uliotayarishwa kwa ajili yenu tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+
20 Lakini sisi, uraia+ wetu uko mbinguni,+ ambako kutoka huko pia tunamngojea+ mwokozi kwa hamu, Bwana Yesu Kristo,+