Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 ili litimizwe lililosemwa kupitia nabii aliyesema: “Nitakifungua kinywa changu kwa mifano, nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”+

  • Waebrania 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kama sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi+ wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua+ mara moja+ kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo+ ili kuondolea mbali dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+

  • 1 Petro 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ni kweli, yeye alijulikana kimbele kabla ya kuwekwa msingi+ wa ulimwengu, lakini alifunuliwa mwishoni mwa nyakati kwa ajili yenu+

  • Ufunuo 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki