26 Kama sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi+ wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua+ mara moja+ kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo+ ili kuondolea mbali dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+
8 Na wale wote wanaokaa duniani watamwabudu; hakuna jina la hata mmoja wao limeandikwa katika kitabu cha kukunjwa+ cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa,+ tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu.+