Wakolosai 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 siri takatifu+ iliyokuwa imefichwa tangu mifumo ya mambo+ iliyopita na tangu vizazi vilivyopita. Lakini sasa imefunuliwa+ kwa watakatifu wake, Tito 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 lakini katika nyakati zake mwenyewe zinazofaa alifanya neno lake liwe wazi katika kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa,+ chini ya amri ya Mwokozi wetu,+ Mungu;
26 siri takatifu+ iliyokuwa imefichwa tangu mifumo ya mambo+ iliyopita na tangu vizazi vilivyopita. Lakini sasa imefunuliwa+ kwa watakatifu wake,
3 lakini katika nyakati zake mwenyewe zinazofaa alifanya neno lake liwe wazi katika kazi ya kuhubiri ambayo nilikabidhiwa,+ chini ya amri ya Mwokozi wetu,+ Mungu;