10 na kumngojea+ Mwana wake kutoka mbinguni,+ ambaye yeye alimfufua kutoka kwa wafu,+ yaani, Yesu, anayetukomboa sisi kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+
28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+