Zaburi 78:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+ Isaya 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?
12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+
11 Wakuu wa Soani+ ni wapumbavu kwelikweli. Na kwa habari ya wenye hekima wa washauri wa Farao, shauri lao ni kitu kisicho cha akili.+ Ninyi mtamwambiaje Farao: “Mimi ni mwana wa wenye hekima, mwana wa wafalme wa kale”?