Hesabu 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri. Zaburi 78:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+ Isaya 30:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana wakuu wake wamekuja kuwa katika Soani,+ na wajumbe wake wamefika hata Hanesi. Ezekieli 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitafanya Pathrosi+ kuwa ukiwa na kuwasha moto katika Soani+ na kufanya matendo ya hukumu katika No.+
22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.
12 Mbele ya mababu zao yeye alikuwa ametenda kwa njia ya ajabu.+Katika nchi ya Misri,+ kiwanja cha Soani.+
14 Nami nitafanya Pathrosi+ kuwa ukiwa na kuwasha moto katika Soani+ na kufanya matendo ya hukumu katika No.+