Hesabu 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye mtumishi wangu Kalebu,+ kwa sababu roho iliyo tofauti ilionekana kuwa pamoja naye, naye aliendelea kunifuata kikamilifu,+ nitamwingiza katika nchi ambamo ameenda, na wazao wake wataimiliki.+ Kumbukumbu la Torati 1:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+ Yoshua 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ndugu zangu walioenda pamoja nami wakaifanya mioyo ya watu iyeyuke;+ lakini mimi nilimfuata kikamilifu Yehova Mungu wangu.+
24 Naye mtumishi wangu Kalebu,+ kwa sababu roho iliyo tofauti ilionekana kuwa pamoja naye, naye aliendelea kunifuata kikamilifu,+ nitamwingiza katika nchi ambamo ameenda, na wazao wake wataimiliki.+
36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+
8 Na ndugu zangu walioenda pamoja nami wakaifanya mioyo ya watu iyeyuke;+ lakini mimi nilimfuata kikamilifu Yehova Mungu wangu.+