Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia.

  • Mwanzo 35:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwishowe Yakobo akaenda kwa Isaka baba yake huko Mamre,+ huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na Isaka pia walikuwa wamekaa wakiwa wageni.+

  • Yoshua 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+

  • Waamuzi 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yuda akapiga mwendo kwenda juu ya Wakanaani waliokuwa wakikaa katika Hebroni+ (basi jina la Hebroni hapo zamani lilikuwa Kiriath-arba),+ nao wakamuua Sheshai na Ahimani na Talmai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki