Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo Kalebu+ akajaribu kuwatuliza watu mbele ya Musa naye akasema: “Na tupande moja kwa moja, nasi tutaimiliki, kwa sababu kwa hakika tunaweza kuishinda.”+

  • Kumbukumbu la Torati 1:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+

  • Yoshua 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Yoshua akambariki, akampa Kalebu mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.+

  • Yoshua 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na shamba la jiji hilo na makao yake wakampa Kalebu mwana wa Yefune kuwa miliki yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki