Hesabu 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo Kalebu+ akajaribu kuwatuliza watu mbele ya Musa naye akasema: “Na tupande moja kwa moja, nasi tutaimiliki, kwa sababu kwa hakika tunaweza kuishinda.”+ Kumbukumbu la Torati 1:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+ Yoshua 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yoshua akambariki, akampa Kalebu mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.+ Yoshua 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na shamba la jiji hilo na makao yake wakampa Kalebu mwana wa Yefune kuwa miliki yake.+
30 Ndipo Kalebu+ akajaribu kuwatuliza watu mbele ya Musa naye akasema: “Na tupande moja kwa moja, nasi tutaimiliki, kwa sababu kwa hakika tunaweza kuishinda.”+
36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+