Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nao wakaliteka, wakalipiga pamoja na mfalme wake na miji yake yote na kila nafsi iliyokuwa ndani yake kwa makali ya upanga. Hakuacha mtu yeyote aokoke, kulingana na yote aliyokuwa amelitendea Egloni. Kwa hiyo akaliangamiza+ pamoja na kila nafsi iliyokuwa ndani yake.

  • Yoshua 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+

  • Yoshua 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakawapa Kiriath-arba+ (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki),+ yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda,+ na viwanja vyake vya malisho kuzunguka pande zote;

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 Na shamba la jiji na makao+ yake wakampa Kalebu+ mwana wa Yefune.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki