37 Nao wakaliteka, wakalipiga pamoja na mfalme wake na miji yake yote na kila nafsi iliyokuwa ndani yake kwa makali ya upanga. Hakuacha mtu yeyote aokoke, kulingana na yote aliyokuwa amelitendea Egloni. Kwa hiyo akaliangamiza+ pamoja na kila nafsi iliyokuwa ndani yake.
13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+
11 Basi wakawapa Kiriath-arba+ (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki),+ yaani, jiji la Hebroni,+ katika eneo lenye milima la Yuda,+ na viwanja vyake vya malisho kuzunguka pande zote;