Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+ Yoshua 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakaangamiza kila kitu kilichokuwa ndani ya jiji hilo, kuanzia mwanamume mpaka mwanamke, kuanzia kijana mpaka mzee hata ng’ombe na kondoo na punda, kwa makali ya upanga.+
29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+
21 Wakaangamiza kila kitu kilichokuwa ndani ya jiji hilo, kuanzia mwanamume mpaka mwanamke, kuanzia kijana mpaka mzee hata ng’ombe na kondoo na punda, kwa makali ya upanga.+