Hesabu 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi Israeli akaweka nadhiri kwa Yehova na kusema:+ “Hakika ukiwatia watu hawa mkononi mwangu, mimi pia hakika nitayaangamiza majiji yao.”+ 1 Samweli 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye Yehova akakupa kazi na kusema, ‘Nenda, uwaangamize wale watenda-dhambi,+ Waamaleki, nawe upigane nao mpaka utakapokuwa umewaangamiza.’+
2 Basi Israeli akaweka nadhiri kwa Yehova na kusema:+ “Hakika ukiwatia watu hawa mkononi mwangu, mimi pia hakika nitayaangamiza majiji yao.”+
18 Baadaye Yehova akakupa kazi na kusema, ‘Nenda, uwaangamize wale watenda-dhambi,+ Waamaleki, nawe upigane nao mpaka utakapokuwa umewaangamiza.’+