Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+

  • Ayubu 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Je, hakuna msiba kwa mkosaji,+

      Na maafa kwa wale wanaozoea kufanya madhara?

  • Methali 10:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+

  • Methali 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki