1 Samweli 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+ Ayubu 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Je, hakuna msiba kwa mkosaji,+Na maafa kwa wale wanaozoea kufanya madhara? Methali 10:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+ Methali 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watenda-dhambi ndio hufuatwa na msiba,+ lakini waadilifu ndio ambao wema huwapa thawabu.+
3 Sasa nenda, umpige Amaleki,+ umwangamize+ pamoja na vitu vyote alivyo navyo, usimhurumie, nawe uwaue,+ mwanamume na mwanamke, mtoto na mtoto anayenyonya,+ ng’ombe pamoja na kondoo, ngamia pamoja na punda.’”+
29 Njia ya Yehova ni ngome kwa mtu asiye na lawama,+ lakini wale wanaozoea kutenda mambo yenye kuumiza wataharibiwa.+