Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Sara akafa katika Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni+ katika nchi ya Kanaani,+ naye Abrahamu akaingia ndani kumwombolezea Sara na kumlilia.

  • Mwanzo 35:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mwishowe Yakobo akaenda kwa Isaka baba yake huko Mamre,+ huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na Isaka pia walikuwa wamekaa wakiwa wageni.+

  • Yoshua 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Jina la Hebroni hapo mwanzoni lilikuwa Kiriath-arba+ (huyo Arba+ alikuwa mwanamume mkuu kati ya Waanaki). Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki