27 Mwishowe Yakobo akaenda kwa Isaka baba yake huko Mamre,+ huko Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, ambako Abrahamu na Isaka pia walikuwa wamekaa wakiwa wageni.+
7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.