Kumbukumbu la Torati 1:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+ Yoshua 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yoshua akambariki, akampa Kalebu mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.+ Waamuzi 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Walipompa Kalebu jiji la Hebroni, kama alivyoahidi Musa,+ ndipo akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+
36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune.+ Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wanawe nchi ile aliyoikanyaga, kwa sababu amemfuata Yehova kikamili.+
20 Walipompa Kalebu jiji la Hebroni, kama alivyoahidi Musa,+ ndipo akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+