24 Naye mtumishi wangu Kalebu,+ kwa sababu roho iliyo tofauti ilionekana kuwa pamoja naye, naye aliendelea kunifuata kikamilifu,+ nitamwingiza katika nchi ambamo ameenda, na wazao wake wataimiliki.+
9 Basi Musa akaapa siku hiyo, akisema, ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga+ itakuwa yako na ya wana wako, iwe urithi mpaka wakati usio na kipimo, kwa kuwa umemfuata Yehova Mungu wangu kikamilifu.’+