Yoshua 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+ Waamuzi 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Walipompa Kalebu jiji la Hebroni, kama alivyoahidi Musa,+ ndipo akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+ 1 Mambo ya Nyakati 6:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Na shamba la jiji na makao+ yake wakampa Kalebu+ mwana wa Yefune.+
13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+
20 Walipompa Kalebu jiji la Hebroni, kama alivyoahidi Musa,+ ndipo akawafukuza kutoka humo wale wana watatu wa Anaki.+