-
Yoshua 11:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Na zaidi ya hayo, Yoshua, wakati uleule, akaenda na kuwakatilia mbali Waanaki+ kutoka katika eneo lenye milima, kutoka Hebroni, kutoka Debiri, kutoka Anabu+ na kutoka katika eneo lote lenye milima la Yuda na kutoka katika eneo lote lenye milima la Israeli.+ Yoshua akawaangamiza+ pamoja na majiji yao.
-