12 Na Yoshua akateka majiji yote ya wafalme hao, naye akawakamata wafalme wao wote, akawapiga kwa makali ya upanga.+ Akawaangamiza,+ kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa ameamuru.+
11 “‘Kisha mkavuka Yordani,+ mkaja Yeriko.+ Nao wenye mashamba wa Yeriko, Waamori na Waperizi na Wakanaani na Wahiti na Wagirgashi, na Wahivi na Wayebusi wakaanza kupigana nanyi; lakini nikawatia mkononi mwenu.+