Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 33:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Nanyi mnapaswa kuwafukuzia mbali wakaaji wote wa nchi hiyo kutoka mbele yenu na kuharibu maumbo yao yote ya mawe,+ nanyi mnapaswa kuziharibu sanamu zao zote za madini ya kuyeyusha,+ na mnapaswa kupaharibu mahali pao pote patakatifu.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+

  • Yoshua 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndipo wakamjibu Yoshua na kusema: “Kwa sababu watumishi wako waliambiwa waziwazi kwamba Yehova Mungu wako alikuwa amemwamuru Musa mtumishi wake awape ninyi nchi yote na kuwaangamiza wakaaji wote wa nchi kutoka mbele yenu,+ nasi tukaogopa sana kwa ajili ya nafsi zetu kwa sababu yenu.+ Kwa hiyo tukafanya jambo hili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki