Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu lazima utawaangamiza, Wahiti na Waamori, Wakanaani na Waperizi, Wahivi na Wayebusi,+ kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekuamuru;

  • Yoshua 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na jiji hili litakuwa kitu cha kuharibiwa;+ jiji lenyewe pamoja na kila kitu kilicho ndani yake ni vya Yehova. Rahabu+ yule kahaba peke yake ndiye atakayeendelea kuishi, yeye na wote walio pamoja naye katika nyumba, kwa kuwa aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+

  • Yoshua 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Yoshua akateka Makeda+ siku hiyo, akalipiga kwa makali ya upanga. Naye akamwangamiza mfalme wake na kila nafsi iliyokuwamo ndani yake.+ Hakuacha mtu yeyote aokoke. Kwa hiyo akamtendea mfalme wa Makeda+ kama vile alivyomtendea mfalme wa Yeriko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki