Yoshua 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jiji na vitu vyote vilivyomo vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Ila msimwangamize Rahabu+ yule kahaba na wote walio pamoja naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+
17 Jiji na vitu vyote vilivyomo vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Ila msimwangamize Rahabu+ yule kahaba na wote walio pamoja naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+