Yoshua 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Yoshua mwana wa Nuni akawatuma kwa siri wanaume wawili wapelelezi kutoka Shitimu,+ akawaambia: “Nendeni mkaipeleleze nchi, hasa jiji la Yeriko.” Basi wakaenda na kufika nyumbani kwa mwanamke mmoja kahaba aliyeitwa Rahabu,+ wakakaa humo. Mathayo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+ Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+ Obedi akawa baba ya Yese;+ Waebrania 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa imani, Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliokosa kutii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa amani.+
2 Kisha Yoshua mwana wa Nuni akawatuma kwa siri wanaume wawili wapelelezi kutoka Shitimu,+ akawaambia: “Nendeni mkaipeleleze nchi, hasa jiji la Yeriko.” Basi wakaenda na kufika nyumbani kwa mwanamke mmoja kahaba aliyeitwa Rahabu,+ wakakaa humo.
5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+ Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+ Obedi akawa baba ya Yese;+
31 Kwa imani, Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliokosa kutii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa amani.+