17 Jiji na vitu vyote vilivyomo vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Ila msimwangamize Rahabu+ yule kahaba na wote walio pamoja naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+
25 Vivyo hivyo, je, Rahabu yule kahaba hakutangazwa pia kuwa mwadilifu kwa matendo, baada ya kuwakaribisha wale wajumbe na kuwatoa nje kupitia njia nyingine?+