Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jiji na vitu vyote vilivyomo vinapaswa kuharibiwa;+ vyote ni vya Yehova. Ila msimwangamize Rahabu+ yule kahaba na wote walio pamoja naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wajumbe tuliowatuma.+

  • Mathayo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Salmoni akawa baba ya Boazi kupitia Rahabu;+

      Boazi akawa baba ya Obedi kupitia Ruthu;+

      Obedi akawa baba ya Yese;+

  • Waebrania 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa imani, Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale waliokosa kutii, kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi kwa amani.+

  • Yakobo 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Vivyo hivyo, je, Rahabu yule kahaba hakutangazwa pia kuwa mwadilifu kwa matendo, baada ya kuwakaribisha wale wajumbe na kuwatoa nje kupitia njia nyingine?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki