Yoshua 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yoshua akateka jiji la Makeda+ siku hiyo na kuwaangamiza wakaaji wake kwa upanga. Akamwangamiza mfalme wake na wakaaji wote, na hakuna mtu yeyote aliyebaki.*+ Alimtendea mfalme wa Makeda+ kama alivyomtendea mfalme wa Yeriko.
28 Yoshua akateka jiji la Makeda+ siku hiyo na kuwaangamiza wakaaji wake kwa upanga. Akamwangamiza mfalme wake na wakaaji wote, na hakuna mtu yeyote aliyebaki.*+ Alimtendea mfalme wa Makeda+ kama alivyomtendea mfalme wa Yeriko.