Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+

  • Yoshua 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati huohuo mwanamke huyo akawachukua wale wanaume wawili, akawaficha. Kisha akasema: “Ni kweli, wanaume hao walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka.

  • Yoshua 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 (Lakini alikuwa amewapandisha darini,+ naye akawaficha kati ya majani ya kitani yaliyokuwa yametandikwa kwa mistari kwa ajili yake juu ya dari.)

  • Mathayo 25:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+

  • Waebrania 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.

  • Yakobo 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Vivyo hivyo, je, Rahabu+ yule kahaba hakutangazwa pia kuwa mwadilifu kwa matendo, baada ya kuwakaribisha wale wajumbe na kuwatoa nje kwa njia nyingine?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki